Moja ya daraja katika ujenzi wa barabara ya Bububu Kituo cha Polisi hadi kwa nyanya ikienelea na ujenzi huo kama inavyoonekana pichani moja ya daraja katika barabara hiyo likiendelea na ujenzi wake ili kuweza kuweka sawa miundombinu ya kupitisha maji wakati wa mvua.
UBALOZI WA TANZANIA NCHINI PARIS WAONGOZAA USHIRIKI WA WADAU MAONESHO YA
UTALII YA B-TRAVEL
-
Na Mwandishi Wetu, Barcelona
UBALOZI wa Tanzania nchini Ufaransa ambao unawakilisha pia nchini
Uhispania, kwa kushirikiana na Bodi ya Utalii Tanzania ...
4 minutes ago
No comments:
Post a Comment