Moja ya daraja katika ujenzi wa barabara ya Bububu Kituo cha Polisi hadi kwa nyanya ikienelea na ujenzi huo kama inavyoonekana pichani moja ya daraja katika barabara hiyo likiendelea na ujenzi wake ili kuweza kuweka sawa miundombinu ya kupitisha maji wakati wa mvua.
BARABARA KOROFI YA MABOGINI - KAHE KUJENGWA KWA LAMI- MHE MCHENGERWA
-
Na John Mapepele -Moshi
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais- TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa leo
amekagua uharibifu wa barabara ya Spencon- Fongagate- Mabogi...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment