Habari za Punde

Kamishna CP Liberatus Sabas Amewasili Mkoani Songwe Kufuatilia Mauaji ya Mtu Mmoja Katika Ofisi ya Mtendaji Kata ya Mwaka Kati.

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas, akiongea na Waandishi wa Habari njee ya Kituo cha Polisi Tunduma kabla ya kwenda kukagua eneo yalipotokea mauaji ya mtu mmoja katika Halmashauri ya Mji wa Tunduma kwenye Ofisi ya Mtendaji Kata ya Mwaka Kati. 

Kamishna wa Operesheni na Mafunzo ya Jeshi la Polisi CP Liberatus Sabas wa kwanza kulia akiwa na Kamanda wa Mkoa wa Songwe RPC George Kiando   pamoja na Maafisa wengine wamewasili katika Ofisi ya Mtendaji Kata ya Mwaka Kati kwaajili ya ukaguzi na kuona eneo ambalo wafuasi wa Chadema waliposaabisha mauaji ya mtu huyo.
(Picha na Jeshi la Polisi)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.