MWENYEKITI
wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.
John Pombe Magufuli na (kulia kwa Rais) Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein
na (kushoto kwa Rais) Katiba Mkuu wa CCM Dkt. Bashiru Ally, wakiwa katika
ukumbi wa mkutano wa jengo la White House Jijini Dodoma, baada ya kuwasili
katika ukumbi
WAJUMBE
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa wamesimama wakati Mwenyekiti wa CCM
Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli
(hayupo pichani) akiwasili katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma, kuongoza
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika leo 20-8-2020, wa kwanza
kulia Makamu wa Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu
Hassan, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ali Iddi, Spika wa
Baraza la Wawakilishi Mhe. Zuberi Ali Maulid na Mhe. Mizengo Pinda.
WAJUMBE
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakiwa wamesimama wakati wa kuwasili kwa
Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani) katika ukumbi wa White
House kuongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Jijini Dodoma
KATIBU
Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Dkt. Bashiru Ally akizungumza kabla ya kumkaribisha Mwenyekiti wa CCM Taifa
Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli, kufungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, kinachofanyika katika
ukumbi wa White House Jijini Dodoma
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli akitete
jambo na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa
Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein, wakiwa katika ukumbi wa White
House Jijini Dodoma, wakati wa Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa.
MWENYEKITI
wa Chama Cha Mapinduzi Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.
John Pombe Magufuli akizungumza wakati
akifungua Kikao cha Halmashauriu Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika katika ukumbi
wa White House Jijini Dodoma.
WAJUMBE
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi na Rais wa Jamuhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani) akifungua
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika katika ukumbi wa
White House Jijini Dodoma leo
MWENYEKITI
wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt.
John Pombe Magufuli, akiongoza Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM, kinachofanyika
katika ukumbi wa White House Jijinin Dodoma na kulia Makamu Mwenyekiti wa CCM
Zanzibar Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein
WAJUMBE
wa Halmashauri Kuu ya Chama Cha Mapinduzi, wakishangilia wakati wa ufunguzi wa
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM kilichofanyika katika ukumbi wa White House
Jijini Dodoma, Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa
Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani) akihutubia katika
ufunguzi wa Kikao hicho kilichofanyika leo 20/8/2020
WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani) akifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma leo
WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani) akifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma leo.
WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani) akifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma leo
WAJUMBE wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani) akifungua Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika katika ukumbi wa White House Jijini Dodoma leo.
WAJUMBE
wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa wakimsikiliza Mwenyekiti wa Chama Cha
Mapinduzi na Rais wa Jamuhuri ya
Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt. John Pombe Magufuli (hayupo pichani) akifungua
Kikao cha Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika katika ukumbi wa
White House Jijini Dodoma leo
No comments:
Post a Comment