AFISA Mdhamini Wizara
ya Vijana Utamaduni Sanaa na Michezo Pemba, akifungua mafunzo ya siku nne kwa
vijana juu ya umuhimu wa kutunza Amani ya nchi, huko katika ukumbi wa Michezo
Gombani
KATIBU Tawala Mkoa wa
Kusini Pemba Abdalla Rashid Ali, akizungumza na Vijana pamoja na kuwasisitiza
kwua wazalendo wa kweli wan chi yao, mafunzo yaliyofanyika ukumbi wa michezo
Gombani.
VIJANA kutoka taasisi mbali mbali zikiwemo za ulinzi Kisiwani
Pemba, wakifuatilia kwa makini mafunzo ya utunzaji wa Amani nchini, huko katika
ukumbi wa michezo Gombani.(PICHA NA:ABDI
SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment