Habari za Punde

Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Nyamirembe na Kashalunga

Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi waNyamirembe Chato mkoani Geita
Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wananchi wa Kashalunga Muleba mkoani Kagera leo tarehe 15 Septemba 2020 katika Mikutano ya Kampeni za CCM
Wananchi wa Nyambirembe na Kashalunga Muleba mkoani Kagera wakishangilia mara baada ya Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili katika maeneo hayo kwa ajili ya mikutano ya Kampeni za CCM leo tarehe 15 Septemba 2020

Wananchi wa Nyambirembe na Kashalunga Muleba mkoani Kagera wakishangilia mara baada ya Mgombea wa Urais kupitia Tiketi ya Chama cha Mapinduzi CCM Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli kuwasili katika maeneo hayo kwa ajili ya mikutano ya Kampeni za CCM leo tarehe 15 Septemba 2020.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.