NDEGE iliotayarishwa na Chama Cha Mapinduzi kwa ajili ya kurusha Vipeperushi vya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Mwinyi ikitupa vipeperushi kwa Wananchi walioko katika viwanja vya Demokrasia na maeneo mengi ya Zanzibar.
WAZIRI DK.PINDI CHANA:SERIKALI IMEENDELEA KUCHUKUA HATUA KUIMARISHA
UHIFADHI WA MISITU
-
*Azindua mradi wa kuimarisha ustahimilivu wa Bianuai ya misitu ya mazingira
asili a dhidi ya athari za mabadiliko ya tabianchi
Na Mwandishi Wetu, Michuzi...
2 hours ago
No comments:
Post a Comment