NDEGE iliotayarishwa na Chama Cha Mapinduzi kwa ajili ya kurusha Vipeperushi vya Mgombea Urais wa Zanzibar kwa Chama Cha Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Mwinyi ikitupa vipeperushi kwa Wananchi walioko katika viwanja vya Demokrasia na maeneo mengi ya Zanzibar.
VYUO VYA AFYA VYASHAURIWA KUONGEZA UDAHILI WA WANAFUNZI WA KINYWA NA MENO
-
LICHA ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika sekta ya afya,
Tanzania bado inakabiliwa na upungufu mkubwa wa wataalamu wa kinywa na
meno, huku ik...
5 minutes ago
No comments:
Post a Comment