Habari za Punde

Mahafali ya 10 ya Skuli ya Maandalizi Star Nursery School

WANAFUNZI wa Skuli ya Maandalizi Star Nursery School iliyopo Kichungwani Chake Chake, wakiimba wimbo maalumu wa kuwakaribisha wageni wakati wa mahafali ya 10 ya skuli hiyo, mahafali yaliyofanyika katika holi la Polisi Madungu Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

WANAFUNZI wa Skuli ya Maandalizi Star Nursery School iliyopo Kichungwani Chake Chake, wakionyesha onyesho juu ya athari za ugonjwa wa Corona, wakati wa mahafali ya 10 ya skuli hiyo, mahafali yaliyofanyika katika holi la Polisi Madungu Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

WANAFUNZI wa Skuli ya Maandalizi Star Nursery School iliyopo Kichungwani Chake Chake, wakiimba wimbo maalumu wa kisiwa cha Pemba wakati wa mahafali ya 10 ya skuli hiyo, mahafali yaliyofanyika katika holi la Polisi Madungu Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

WANAFUNZI wa Skuli ya Maandalizi Star Nursery School iliyopo Kichungwani Chake Chake, wakicheza wimbo wa kimasai kuashiria moja ya tabaduni bora zilizopo Tanzania, wakati wa mahafali ya 10 ya skuli hiyo, mahafali yaliyofanyika katika holi la Polisi Madungu Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

WANAFUNZI wa Skuli ya Maandalizi Star Nursery School iliyopo Kichungwani Chake Chake, walioonyesha sanaa za mataifa mbali mbali wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbali mbali wa serikali, akiwemo Mkurugenzi wa Elimu ya Msingi na Maandalizi kutoka Baraza la Mji Chake Chake Makame Pandu Khamis, wakati wa mahafali ya 10 ya skuli hiyo, mahafali yaliyofanyika katika holi la Polisi Madungu Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

WANAFUNZI wa Skuli ya Maandalizi Star Nursery School iliyopo Kichungwani Chake Chake, wakiwa na vyeti vyao vya kumalizia masomo ya Nursery wakati wa mahafali ya 10 ya skuli hiyo, mahafali yaliyofanyika katika holi la Polisi Madungu Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.