Habari za Punde

Mahafali ya kwanza ya skuli ya Al-jitihad Nnisai Islamiya yafanyika Kichangani, Chake Pemba

MWAKILISHI wa Jimbo la Wawi Bakar Hamad Bakar, akimkabidhi mabuku mwanafunzi bora wa skuli ya Al-jitihad Nnisai Islamiya Iliyopo Kichangani Wilaya ya Chake Chake, wakati wa mahafali ya kwanza ya skuli hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MWAKILISHI wa Jimbo la Wawi Bakar Hamad Bakar, akizungumza na wazazi, walimu na wanafunzi wakati wa mahafali ya kwanza ya skuli ya Al-jitihad Nnisai Islamiya iliyopo Kichungwani Wilaya ya Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

BAADHI ya wanafunzi ambao wamefania mitihani yao ya kidato cha sita (6) mwaka huu, wakisubiria kuhitimu katika mahafali ya kwanza ya skuli ya Al-jitihad Nnisai Islamiya iliyopo Kichungwani Wilaya ya Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.