RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akiongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akiongoza kikao cha kwanza cha Baraza la Mapinduzi kilichofanyika leo katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 23 Disemba 2020.
No comments:
Post a Comment