Habari za Punde

Makabidhiano ya uwanja wa mpira wa Kishindeni Wilaya ya Micheweni

NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Khamis Abdalla Said, akimuonyesha Katibu Tawala Wilaya ya Micheweni Hassan Abdalla Rashid (katikati), baadhi ya mipaka ya uwanja wa mpira wa Kishindeni Wilaya hiyo, mara baada ya kukabidhiwa rasmi uongozi wa Wilaya kutoka Wizara ya habari, wa kwanza kushoto ni katibu Mkuu Wizara ya Habari Vijana Utamaduni na Michezo Fatma Hamad Rajab.(PICHA NA HANIFA SALIM, PEMBA)


 

WAZIRI wa Habari Vijana Utamaduni na Michezo Zanzibar Tabia Maulid Mwita, akimueleza jambo mkuu wa Wilaya ya Micheweni Kepteni Mohammed Mussa Seif, wakati wa makabidhiano ya uwanja wa mpira wa Kishindeni Wilaya ya Micheweni, kutoka Wizara ya habari kwenda kwa uongozi wa Wilaya hiyo, hafla iliyoshuhudiwa na katibu mkuu Wizara hiyo Fatma Hamad Rajab na Naibu Katibu mkuu Khamis Abdalla Said.(PICHA NA HANIFA SALIM, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.