Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi Amtembelea Rais Mstaafu wa Zanzibar Awamu ya Tano Alhaj Dkt. Salmin Amour Juma.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akitikia dua iliyosomwa na Rais Mstaaf wa Zanzibar Alhaj Dkt.Salmin Amour Juma (kulia kwa Rais) baada ya kumaliza mazungumzo yao  ya faragha wakati alipomtembelea nyumbani kwake Migombani Jijini Zanzibar kumjulia hali .
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.