RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi
akitikia dua iliyosomwa na Rais Mstaaf wa Zanzibar Alhaj Dkt.Salmin Amour Juma (kulia
kwa Rais) baada ya kumaliza mazungumzo yao
ya faragha wakati alipomtembelea nyumbani kwake Migombani Jijini
Zanzibar kumjulia hali .
HARMONIZE NA DULLA MAKABILA KUPAMBA SHAMRASHAMRA ZA MWENGE WA UHURU UBUNGO
-
*Wasanii nyota wa muziki wa Bongo Fleva, Harmonize na Dulla Makabila,
wanatarajiwa kutoa burudani kabambe katika mkesha wa Mwenge wa Uhuru
utakaofanyika ...
14 minutes ago
No comments:
Post a Comment