Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe Kassim Majaliwa Aongoza Kikao cha Kazi Kati yake na Gavana wa Bot na Wakurugenzi wa Baadhi ya Benki.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza katika kikao cha kazi kati yake na Gavana wa Benki Kuu,  Wakurugenzi  wa Benki za NBC, NMB,CRDB, TPB, TADB, AZANIA, TIB pamoja Mifuko ya NSSF na PSSSF kwenye ukumbi wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Mlimwa jijini Dodoma, Januari 18, 2021. Kikao hicho pia kulihudhuriwa na Katibu Mkuu, Ofisi ya Waziri Mkuu (Bunge na Waziri Mkuu),Tixon Nzunda. (Picha na

Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.