Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na
Waziri wa Elimu Profesa Joyce Ndalichako, Waziri wa Tamisemi Selemani Jafo,
Balozi wa Uingereza hapa nchini David Concar, Mkuu wa Mkoa wa Kagera Brigedia
Jenerali Marco Gaguti wakati akikata utepe kufungua Majengo mapya ya madarasa
ya Shule ya Sekondari Ihungo ambayo iliathiriwa vibaya na tetemeko la Ardhi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akikagua
madarasa ya Shule ya Sekondari ya Ihungo ambayo ilijengwa upya mara baada ya
tetemeko la ardhi lililotokea mwaka 2016 mkoani Kagera. PICHA NA IKULU
No comments:
Post a Comment