Habari za Punde

Waziri Mkuu wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa Azungumza na Balozi wa Canada Nchini Tanzania.

Waziri Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kassim Majaliwa akizungumza na Balozi wa Canada nchini, Mhe. Pamela O' Donnell, ofisini kwa Waziri Mkuu,  Mlimwa jijini Dodoma, Januari 14, 2021. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.