MAJAJI
Wateule wa Mahakama Kuu Zanzibar wa kwanza Mhe. Ibrahim Mzee Ibrahim, Mhe. Haji
Omar Haji na Mwenyekiti Mteule wa Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar Bi.
Khadija Shamte Mzee, wakiwa katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar wakisubiri
kuapishwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.
Hussein Ali Mwinyi hafla hiyo imefanyika leo Ikulu.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Mhe. Ibrahim Mzee Ibrahim kuwa Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar, hafla
hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar na (kushoto kwa Rais)
Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi Zena Ahmed Said.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akisaini hati ya Kiapo ya Jaji wa Mahakama Kuu ya Zanzibar Mhe. Ibrahim Mzee
Ibrahim, baada ya kumuapisha leo 8-2-2021 Ikulu Jijini Zanzibar
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Mhe. Haji Omar Haji kuwa Jaji wa Mahakama Kuu Zanzibar, hafla hiyo
imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi
akimuapisha Bi. Khadija Shamte Mzee kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha
Sheria Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
RAIS
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi
akimkabidhi Hati ya Kiapo Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar Bi.Khadija
Shamte Mzee baada ya kumaliza kula kiapo, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi
wa Ikulu Jijini Zanzibar leo 8-2-2021
MAKAMU
wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla na Jaji Mkuu wa Zanzibar
Mhe.Omar Othman Makungu wakihudhuria hafla ya kuapishwa kwa Majaji wa Mahakama
Kuu Zanzibar na Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar, hafla hiyo
imefanyika katika ukumbi wa Ikulu Jijini Zanzibar.
WAZIRI
wa Nchi Afisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi na Utawala Bora Zanzibar
Mhe.Haroun Ali Suleiman na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi
wakifuatilia kuapishwa kwa Majaji wa Mahakama Kuu Zanzibar na Mwenyekiti wa
Tume ya Kurekebisha Sheria Zanzibar, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa
Ikulu Jijini Zanzibar
No comments:
Post a Comment