MKUU wa Mkoa wa
Kusini Pemba Mattar Zahor Masoud, akifungua mkutano wa wadau wa Operesheni na
udhibiti wa dawa za kulevya Pemba, ulioandaliwa na Tume ya Kitaifa ya kuratibu
na udhibiti wa dawa za kulevya, kutoka Ofisi ya Mkamu wa Kwanza wa Rais na
kufanyika mjini Chake Chake
AFISA Mdhamini ofisi
ya Makamu wa Kwanza wa Rais Zanzibar, Ahmed Abubakar Mohamed, akizungumza na
wadau wa Operesheni na udhibiti wa dawa za kulevya Kisiwani Pemba, mkutano
uliofanyika ofisi za DPP Madungu Chake Chake.
AFISA kutoka Jeshi la
Polisi mkoa wa kusini Pemba Issa Abass Mohamed, akiwasilisha taarifa ya dawa za
kulevya kwa kipindi cha 2020, wakati wa mkutano wa wadau wa Operesheni na
Udhibiti wa dara za Kulevya Pemba, mkutano uliofanyika mjini Chake Chake.
WADAU wa Operesheni na Udhibiti wa Dawa za Kulevya Kisiwani
Pemba, wakiwa katika mkutano wa uwasilishaji wa taarifa za matukio ya Dawa za
kulevya kwa mwaka 2020, mkutano uliowashirikisha ZAECA, KM KM, POLISI, DPP na
watendaji kutoka Tume ya Kitaifa ya Kuratib na udhibiti wa dawa za kulevya
Pemba.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment