MWAKILISHI wa Jimbo la Wawi Kisiwani Pemba Bakar
Hamad Bakar kulia akimkabidhi mifuko 30 ya saruji, Mjumbe wa kamati kuu ya CCM
Taifa na Mlezi wa Mikoa Miwili ya Pemba, Makongoro Julius Nyerere kwa ajili ya
upigaji wapalasta ndani na nje tawi la CCM Mkoroshoni, ikiwa ni shamra shamra
za kutimiza miaka 44 ya kuzaliwa kwa CCM.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MJUMBE wa kamati kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa Mikoa
Miwili ya Pemba, Makongoro Julius Nyerere akizungumza na wanachama wa CCM Tawi
la Mkoroshoni, kabla ya kukabidhi mifuko 30 ya saruji na kupigisha harambee ya
ujenzi huo ambapo shilingiu 1595000/= zilikusanywa na fedha taslimu shilingi laki
835000/= ahadi shilingi laki 760000/=.(PICHA
NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
MJUMBE wa kamati kuu ya CCM Taifa na Mlezi wa Mikoa
Miwili ya Pemba, Makongoro Julius Nyerere katikati, akipiga makofi na viongozi
wengine wa chama cha Mapinduzi Mkoa wa Kusini Pemba, mara baada ya kuwasili
katika tawi la CCM Mkoroshoni.(PICHA NA
ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment