Habari za Punde

TAMWA Pemba yaendesha mafunzo maalum jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii kwa waandishi

WAANDISHI wa habari wa shirika la Magazeti ya Serikali Zanzibar Ofisi ya Pemba, Zuhura Juma Said (kulia)na Mariyam Salim Habibu, wakifanya mazoezi jinsi ya kutumia mitandao ya kijamii, kwa kusambaza habari mbali mbali zinazowahusu wanawake, mafunzo hayo yaliyoandaliwa na TAMWA Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


 MKUFUNZI wa Masuala ya Uwandishi wa habari kwa kutumia mitandao ya Kijamii, akitoa maelekezo kwa vitendo jinsi ya kuweka habari zao hususan za wanawake katika mitandao ya kijamii, katika mafunzo ya siku mbili yaliyoandaliwa na TAMWA PEMBA.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.