Habari za Punde

Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais ziarani Pemba

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Dk.Saada Mkuya Salum, akimsikiliza kwa makini Mratib wa Tume ya Kitaifa ya kuratibu na udhibiti wa dawa za kulevya Pemba Omar Juma Mbarouk, mara baada ya kuwasili katika ofisi hizo chake chake katika ziara yake ya kwanza Kisiwani Pemba.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Dk.Saada Mkuya Salum akiangalia takwimu za kesi za dawa za kulevya kwa Wilaya za Pemba mwaka 2018/2020, kutoka kwa afisa udhibiti na uchunguzi wa dawa za kulevya, kutoka tume ya Kitaifa ya kuratib na udhibiti wa dawa za kulevya Pemba Ahmed Khamis Kombo, wakati alipotembelea kitengo hicho katika ziara 

AFISA Mdhamini Ofisi ya Makamu wa Kwanza wa Rais, Ahmed Aboubakar Mohamed akitoa maelezo kwa waziri wa Nchi Ofisi hiyo Saada Mkuya Salum, wakati alipotembelea ofisi ya Tume ya kitaifa ya kuratib na udhibiti wa dawa za kulevya Pemba, ikiwa ni ziara yake ya kwanza kisiwani hamo baada ya kuteuliwa kwake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


 WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Makamu wa kwanza wa Rais, Dk.Saada Mkuya Salum akivishwa koja la maua na mmoja wa wafanyakazi wa ofisi yake Bikombo Hamad Rajab, mara baada ya kuwasili katika ofisi hiyo Gombani kwa mara ya kwanza Kisiwani Pemba, katika ziara yake ya siku moja.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.