Habari za Punde

Waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar akabidhi msaada wa vifaa vya ujenzi Skuli ya Madungu Sekondari

MWAKILISHI wa Kuteuliwa Viti maalumu kupitia wasomi Lela Mohamed Mussa, ambae pia ni waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar (wa kwanza kulia) akikabidhi msaada wa Vitu mbali mbali zikiwemo mbao, saruji, Taizi na Jipsamu Bod kwa mwalim Mkuu wa Skuli ya Madungu Sekondari Mohamed Shamte Omar (wapili kuli), akiwa maefuatana na watendaji mbali mbali wa CCM.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

BAADHI ya wanafunzi wa skuli ya Madungu Sekondari wakimsikiliza kwa makini, Mwakilishi wa kuteuliwa Viti maalumu kupitia wasomi Lela Mohamed Mussa, wakati alipokua akizungumza nao na kukabidhi vifaa mbali mbali kwa ajili ya ujenzi wa dahalia la wanafunzi wa skuli hiyoo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)

MWAKILISHI wa Kuteuliwa Viti maalumu kupitia wasomi Lela Mohamed Mussa, ambae pia ni waziri wa Utalii na Mambo ya Kale Zanzibar, akizungumza na wanafunzi wa skuli ya Madundu Sekondari, kabla ya kukabidhi msaada wa vitu mbali mbali kwa skuli hiyo.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


 MBUNGE wa Jimbo la Mpendae Toufiq Turky akizungumza na wananchi wa skuli ya Madungu Sekondari, akiwahamasisha kusoma masomo ya sayansi ili kuwa wataalamu bora.(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.