Habari za Punde

Mbunge wa Jiombo la Mkoani Mhe.Mbarawa Amekabidhi Msaada wa Mabati

MJUMBE wa Kamati Tekelezaji CCM Wilaya ya Chake Chake Mariyam Said Khamis (katikati), akikabidhi mbao kwa viongozi wa Skuli ya Msingi Ngombeni B Wilaya ya Mkoani, msaada huo umetolewa na Mbunge wa Jimbo la Mkoani Profesa Makame Mnyaa Mbarawa

MJUMBE wa Kamati Tekelezaji CCM Wilaya ya Chake Chake Mariyam Said Khamis (wa kwanza kulia), akikabidhi Bati kwa viongozi wa Skuli ya Msingi Ngombeni B Wilaya ya Mkoani, msaada huo umetolewa na Mbunge wa Jimbo la Mkoani Profesa Makame Mnyaa Mbarawa.

(PICHA NA ABDI SULEIMAN,PEMBA)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.