Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akimfariji na kutowa mkono wa pole kwa Mtoto wa Marehemu Salum Zahro, Zahro Salum, alipowasili katika msikiti wa Ijumaa Mwera kuhudhuria maziko hayo yaliofanyika kijijini hapo.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Dini ya Kiislam
katika Sala ya kusalia jeneza likiwa na mwili wa Marehemu Salum Zahro,
ikiongozwa na Mtoto wa Marehemu Bw.Zahoro Salum, iliofanyika katika Msikiti wa
Mwera
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Katibu wa
Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh.Khalid Ali Mfaume, baada ya kumalizika Sala ya
kuusali mwili wa Marehemu Salum Zahor, iliofanyika katika msikiti wa Mwera
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akiweka mchanga katika kaburi likiwa na
mwili Marehemu Salum Zahro, wakati wa maziko hayo yaliofanyika katika Kijiji
cha Mwera Wilaya Magharibi A Unguja.
No comments:
Post a Comment