Habari za Punde

Makatibu wakuu Ofisi ya Makamu wa Rais watembelea miradi Kisiwani Pemba

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Ngelela Maganga (watatu kushoto) akiwa ameambatana na Naibu Katibu Mkuu Bw. Mohammed Khamis Abdulla (kulia) wakiwa katika ziara ya kutembelea soko la samaki Tumbe ambalo kupitia Mradi wa Uvuvi na Maendeleo Shirikishi Kusini Magharibi ya Bahari ya Hindi (SWIOFish) lililopoMkoawaKusiniwalipofanyaziara Pemba.

KatibuMkuuOfisiyaMakamuwaRais Bi. Mary NgelelaMaganga (watatukulia) akisikilizamaelezokutokakwamtaalamuwauvuviwakatiwaziarayakutembeleasoko la samakiTumbeambalokupitiaMradiwaUvuvinaMaendeleoShirikishiKusiniMagharibiyaBahariya Hindi (SWIOFish) lililopoMkoawaKusiniwalipofanyaziara Pemba.

KatibuMkuuOfisiyaMakamuwaRais Bi. Mary NgelelaMaganga (watatukulia) akisikilizamaelezokutokakwamtaalamuwakilimowakatiwaziarayakutembeleabonde la mpunga la Ole lililopoMkoawaKusinikupitiaMradiwaKuongezaTijanaUzalishajiwaMpunga (ERPP) alipofanyaziara Pemba.

KatibuMkuuOfisiyaMakamuwaRais Bi. Mary NgelelaMagangaakizungumzanaMkuuwaMkoawaKusiniMhe. MattarZahourMasoudalipomtembeleaofisinikwakekablayakuanzaziarayakutembeleabonde la mpunga la Ole lililopoMkoawaKusinikupitiaMradiwaKuongezaTijanaUzalishajiwaMpunga (ERPP).

Sehemuyabonde la mpunga la Ole lililopoMkoawaKusinikupitiaMradiwaKuongezaTijanaUzalishajiwaMpunga (ERPP)ambalolimetembelewanaujumbewaKatibuMkuuOfisiyaMakamuwaRais Bi. Mary NgelelaMaganga.

MkuuwaMkoawaKaskaziniMhe. SalamaMbaroukKhatibakitoaneno la shukranikwaujumbewaKatibuMkuuOfisiyaMakamuwaRais Bi. Mary NgelelaMagangauliofanyaziarakatikamkoahuowilayaniWetekwaajiliyakutembeleasoko la samakiTumbeambalokupitiaMradiwaUvuvinaMaendeleoShirikishiKusiniMagharibiyaBahariya Hindi (SWIOFish).

 

 

Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bi. Mary Ngelela Maganga na Naibu Katibu Mkuu Bw. Mohammed Khamis Abdulla wakiwa katika picha ya pamoja na wataalamu kutoka Wizara ya Uvuvi ya Zanzibar na wavuvi katika soko la samaki Tumbe ambalo kupitia Mradi wa Uvuvi na Maendeleo Shirikishi Kusini Magharibi ya Bahari ya Hindi (SWIO Fish) lililopo Mkoa wa Kusini walipofanya ziara Pemba.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.