Habari za Punde

Matukio ya Picha Mkutano wa Kampeni Jimbo la Buhigwe Mkoani Kogoma,

Mama ambaye jina lake halikupatikana  akisuka ukili katika mkutano wa uzinduzi wa kampeni  za Uchaguzi Mdogo katika Jimbo la Buhigwe Mkoani Kigoma ulioongozwa na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM,  Kassim Majaliwa kwenye Uwanja wa Shule ya Msingi Buhigwe, Mei 5, 2021. 

(Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.