Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akinyanyua juu Kitabu cha Historia ya Maisha yake mara baada ya kuzinduliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Gari Jipya Rais Mstaafu
wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi pamoja na Mkewe Mama Sitti Mwinyi mara
baada ya kuzindua Kitabu chake cha Historia ya Maisha yake ili liweze kumsaidia
katika shughuli mbalimbali za usafiri
Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akizungumza na viongozi mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa Kitabu chake cha Historia ya Maisha yake katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Kitabu cha Historia ya Maisha ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Kitabu cha Historia ya Maisha ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre.
No comments:
Post a Comment