Rais
Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akinyanyua juu Kitabu cha
Historia ya Maisha yake mara baada ya kuzinduliwa na Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan.
Rais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akimkabidhi Gari Jipya Rais Mstaafu
wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi pamoja na Mkewe Mama Sitti Mwinyi mara
baada ya kuzindua Kitabu chake cha Historia ya Maisha yake ili liweze kumsaidia
katika shughuli mbalimbali za usafiri
Rais
Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi akizungumza na viongozi
mbalimbali waliofika katika uzinduzi wa Kitabu chake cha Historia ya Maisha
yake katika hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention
Centre.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza
na viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Kitabu cha Historia
ya Maisha ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi iliyofanyika
katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan akizungumza
na viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya uzinduzi wa Kitabu cha Historia
ya Maisha ya Rais Mstaafu wa Awamu ya Pili Mzee Ali Hassan Mwinyi iliyofanyika
katika ukumbi wa Mwalimu Nyerere Convention Centre.
No comments:
Post a Comment