WANANCHI wa Gombani Chakechake Pemba
wakimsikiliza Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Hussein Ali Mwinyi (hayupo pichani) baada ya kumalizika kwa Sala ya
Tarawekh, iliofanyika katika Masjid Al Rahmaan Gombani Chakechake Kisiwani
Pemba
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na Wananchi wa
Gombani Chakechake Pemba baada ya kumalizika kwa Sala ya Tarawekh, iliofanyika
katika Masjid Al Rahmaan Gombani
No comments:
Post a Comment