RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana
na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Pemba Mhe.Matar Zahro Matar, alipowasili Uwanja wa
Ndege wa Chakechake Pemba akiwa katika ziara ya Siku mbili Kisiwani Pemba na
(kulia kwake) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Pemba Mhe.Salama Mbarouk Khatib
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Husseinn Ali Mwinyi akiwa na Mkewe Mama Mariam Mwinyi
wakisalimiana na Viongozi mbalimbali walipowasili Uwanja wa Ndege wa Chakechake
Pemba, akiwa Kisiwani Pemba kwa ziara ya Siku mbili.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi na Wananchi
alipowasili Uwanja wa Ndege wa Chakechake Pemba kwa ajili ya ziuara ya Siku
mbili Kisiwani Pemba
No comments:
Post a Comment