“Serikali kupitia Wizara ya Michezo ninayoiongoza tunapambana na rushwa kwenye michezo kwa nguvu zote na tunashirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhakikisha tunaweka mazingira wezeshi ya michezo nchini kukua bila kuwepo kwa mazingira ya rushwa, niwahakikishie Serikali haitofumbia macho Timu inayotumia rushwa kujipatia ushindi”—Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa leo Bungeni
TMDA YAENDELEA KUTOA ELIMU KWA UMMA MATUMIZI SAHIHI YA DAWA NDANI YA
SABASABA
-
Mamlaka ya Dawa na Vifaa Tiba (TMDA) inashiriki katika Maonesho ya 49 ya
Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam maarufu kama Sabasaba, kwa lengo la
kutoa...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment