“Serikali kupitia Wizara ya Michezo ninayoiongoza tunapambana na rushwa kwenye michezo kwa nguvu zote na tunashirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhakikisha tunaweka mazingira wezeshi ya michezo nchini kukua bila kuwepo kwa mazingira ya rushwa, niwahakikishie Serikali haitofumbia macho Timu inayotumia rushwa kujipatia ushindi”—Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa leo Bungeni
MICHANGO ISIZUIE MTOTO KUPATA ELIMU
-
Na Angela Msimbira, NZEGA
NAIBU Waziri, Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Mhe.
Zainab Katimba amesisitiza kuwa uchangiaji katika sekta ya...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment