“Serikali kupitia Wizara ya Michezo ninayoiongoza tunapambana na rushwa kwenye michezo kwa nguvu zote na tunashirikiana na Vyombo vya Ulinzi na Usalama kuhakikisha tunaweka mazingira wezeshi ya michezo nchini kukua bila kuwepo kwa mazingira ya rushwa, niwahakikishie Serikali haitofumbia macho Timu inayotumia rushwa kujipatia ushindi”—Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Innocent Bashungwa leo Bungeni
VYUO VYA AFYA VYASHAURIWA KUONGEZA UDAHILI WA WANAFUNZI WA KINYWA NA MENO
-
LICHA ya uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika sekta ya afya,
Tanzania bado inakabiliwa na upungufu mkubwa wa wataalamu wa kinywa na
meno, huku ik...
37 minutes ago
No comments:
Post a Comment