Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Hurumzi wakiwa katika mapunziko ya asubuhi baada ya kumaliza Mitihani yao ya majaribio na kujisomea kwa kujiandaa na mtihani wa Kiswahili baada ya mapunziko wakiwa nje ya jengo la skuli hiyo kama walivyokutwa na mpiga picha weti akiwa katika mizunguko ya mitaani.
OFISI YA MAKAMU WA RAIS KUTEKELEZA MRADI WA MAZINGIRA BUNDA
-
Ofisi ya Makamu wa Rais inasimamia utekelezaji wa Mradi wa Bunda Climate
Resilience and Adaptation Project katika Wilaya ya Bunda mkoani Mara ili
kukabili...
3 hours ago
No comments:
Post a Comment