Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Hurumzi wakiwa katika mapunziko ya asubuhi baada ya kumaliza Mitihani yao ya majaribio na kujisomea kwa kujiandaa na mtihani wa Kiswahili baada ya mapunziko wakiwa nje ya jengo la skuli hiyo kama walivyokutwa na mpiga picha weti akiwa katika mizunguko ya mitaani.
KATIKA IMANI YANGU KUMWAGA DAMU YA MTU ASIYE NA HATIA NI JAMBO ZITO SANA -
DKT MWIGULU
-
Na Janeth Raphael MichuziTv - Dar es salaam.
Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Mwigulu Nchembe
amewasihi Watanzania kuungana na Rais Sami...
34 minutes ago





No comments:
Post a Comment