Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Hurumzi wakiwa katika mapunziko ya asubuhi baada ya kumaliza Mitihani yao ya majaribio na kujisomea kwa kujiandaa na mtihani wa Kiswahili baada ya mapunziko wakiwa nje ya jengo la skuli hiyo kama walivyokutwa na mpiga picha weti akiwa katika mizunguko ya mitaani.
ROMBO MPYA YA KUWEKEZA KWENYE ELIMU - DC MWANGALA
-
Na Mwandishi wetu, Rombo
MKUU wa wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro, Raymond Mwangala amewataka
wakazi wa eneo hilo kuwekeza kwenye elimu kwani mataifa meng...
44 minutes ago
No comments:
Post a Comment