Habari za Punde

Matukio ya Picha Mitaani Mji Mkongwe Jijini Zanzibar.

Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Hurumzi wakiwa  katika mapunziko ya asubuhi baada ya kumaliza Mitihani yao ya majaribio na kujisomea kwa kujiandaa na mtihani wa Kiswahili baada ya mapunziko wakiwa nje ya jengo la skuli hiyo kama walivyokutwa na mpiga picha weti akiwa katika mizunguko ya mitaani. 



 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.