Wanafunzi wa Skuli ya Sekondari ya Hurumzi wakiwa katika mapunziko ya asubuhi baada ya kumaliza Mitihani yao ya majaribio na kujisomea kwa kujiandaa na mtihani wa Kiswahili baada ya mapunziko wakiwa nje ya jengo la skuli hiyo kama walivyokutwa na mpiga picha weti akiwa katika mizunguko ya mitaani.
WAZIRI DKT.KIJAJI AIPONGEZA TAASISI YA UHANDISI NA USANIFU MITAMBO TANZANIA (TEMDO) KWA UBUNIFU
-
Waziri wa Uwekezaji, Viwanda na Biashara Mhe. Dkt Ashatu Kijaji (Mb.)
ameipongeza Taasisi ya Uhandisi na Usanifu Mitambo Tanzania (TEMDO ) kwa
ubunifu wa...
2 minutes ago
No comments:
Post a Comment