Habari za Punde

Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk Ali Mohamed Shein Ameongoza Kikao Cha Kamati Maalum ya Halmashauri ya CCM Zanzibar Ukumbi wa Afisi Kuu Kisiwandui Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Abdalla Juma Mabodi alipowasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui kuhudhuria Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kilichofanyika leo 19-6-2021
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akiwasili katika viwanja vya Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui kuhudhuria Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri ya CCM Zanzibar, akisalimiana na Naibu Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt. Abdalla Juma Mabodi na Viongozi wengine wa CCM.
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakisoma makabrasha ya Kikao kabla ya kuaza kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk., Ali Mohamed Shein,. katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar
WAJUMBE wa Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakisoma makabrasha ya Kikao kabla ya kuaza kilichoongozwa na Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe.Dk., Ali Mohamed Shein,. katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.

RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na (kushoto kwake) Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk. Ali Mohamed Shein na (kulia kwake) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa ambae pia ni Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, wakiwa wamesimama baada ya kuwasili katika ukumbi wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar

Wajumbe wa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar wakiwa wamesimama wakati wa kuwasili kwa Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Rais Mstaaf Dk.Ali Mohamed Shein.(hayupo pichani) katika ukumbi wa mkutano Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Balaza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi, Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe Hemed Suleiman Abdulla (kulia kwac Rais) wakichukua makabrasha yao kabla ya kuaza kwa Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar.
NAIBU Katibu Mkuu wa CCM Zanzibar Dkt.Abdalla Juma Mabodi akisoma ajenda ya Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar, kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar na (kulia kwake) Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Mhe. Dk. Ali Mohamed Shein, Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Hemed Suleiman Abdulla
MAKAMU Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi Zanzibar (CCM) Rais Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein akiongoza Kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Zanzibar kilichofanyika katika ukumbi wa Afisi Kuu ya CCM Kisiwandui Jijini Zanzibar leo 19-6-2021. na (kulia kwake) Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi ambae pia ni Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashuri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Dk. Hussein Ali Mwinyi na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa Mhe. Hemed Suleiman Abdulla

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.