Habari za Punde

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi Amewatembelea na Kuwajulia Hali Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Kabi na Waziri Kiongozi Mstaaf Mhe. Shamsi Vuai Nahodha.

 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi alipofika nyumbani kwake Mazizini Wilaya ya Magharibi "B"Unguja kumtembelea na kumjulia hali yake leo.4-6-2021.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi alipofika nyumbani kwake Mazizini Wilaya ya Magharibi "B"Unguja kumtembelea na kumjulia hali yake leo.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ikisomwa na Katibu wa Mufti Sheikh Khalid Ali Mfaume (hayupo pichani) baada ya kumaliza mazungumzo na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi (kulia kwa Rais) alipofika nyumbani kwake Mazizini Wilaya ya Magharibi "B"Unguja kumtembelea na kumjulia hali yake leo na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Katiba Sheria Utumishi wa Umma na Utawala Bora Zanzibar Mhe. Haroun Ali Suleiman.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Waziri Kiongozi Mstaaf wa Zanzibar Mhe.Shamsi Vuai Nahodha alipofika nyumbani kwake Chukwani kumtembelea na kujua hali yake na kufanya mazungumzo.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua na Waziri Kiongozi Mstaaf wa Zanzibar Mhe,Shamsi Vuai Nahodha baada ya kumaliza mazungumzo yao alipofika kumtembelea na kujua hali yake, nyumbani kwake Chukwani Wilaya ya Magharibi "B"Unguja. 
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiagana na Waziri Kiongozi Mstaaf wa Zanzibar Mhe,Shamsi Vuai Nahodha baada ya kumaliza mazungumzo yao alipofika kumtembelea na kujua hali yake, nyumbani kwake Chukwani Wilaya ya Magharibi "B"Unguja. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Mwinyi alikwenda kumjuulia hali Waziri Kiongozi Mstaafu Shamsi Vuai Nahodha huko nyumbani kwake Chukwani, Mkoa wa Mjini Magharibi.

Pia, Alhaj Dk. Mwinyi alifika nyumbani kwa Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabih huko Mazizini, Mkoa wa Mjini Magharibi  kwa ajili ya kumjuulia hali.

Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar

Postal Address: 2422 Tel.:0777427449. Fax: 024 2231822 

 E-mail: rajabmkasaba@yahoo.co.uk

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.