Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Zanzibar na Tanzania Inocent Haule wa Timu ya Veterani wa Unguja akiwania mpira na Mchezaji wa Timu ya Veterani ya Pemba Suleiman Juma wakati wa mchezo wa kirafiti wa Wachezaji wa Zanzibar wa Zanzibar mchezo uliofanyika Uwanja wa Gombani Timu ya Veterani Pemba imeshinda kwa Penenti kwa bao.4-2.
Mchezaji wa Timu ya Veterani kutoka Unguja Abdulkadir Atash akijaribu kuwapita wachezaji wa Timu ya Veterani Pemba wakati wa mchezo wao wa Kitaifa wa Wachezaji wa Zamani wa Zanzibar uliofanyika katika uwanja wa Gombani Pemba.
KAMPENI YA MSAADA WA KISHERIA YA MAMA SAMIA YAENDELEA KUTOA ELIMU NA HUDUMA
BURE KWA WANANCHI WA HALMASHAURI YA MADABA
-
Madaba_Ruvuma.
Kampeni ya Msaada wa Kisheria ya Mama Samia imeendelea kuisaidia jamii
isiyo na uwezo wa kugharamia huduma za mawakili kwa kuhakikisha wana...
10 hours ago
No comments:
Post a Comment