Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Zanzibar na Tanzania Inocent Haule wa Timu ya Veterani wa Unguja akiwania mpira na Mchezaji wa Timu ya Veterani ya Pemba Suleiman Juma wakati wa mchezo wa kirafiti wa Wachezaji wa Zanzibar wa Zanzibar mchezo uliofanyika Uwanja wa Gombani Timu ya Veterani Pemba imeshinda kwa Penenti kwa bao.4-2.
Mchezaji wa Timu ya Veterani kutoka Unguja Abdulkadir Atash akijaribu kuwapita wachezaji wa Timu ya Veterani Pemba wakati wa mchezo wao wa Kitaifa wa Wachezaji wa Zamani wa Zanzibar uliofanyika katika uwanja wa Gombani Pemba.
The Essential Role of Open Data in Upholding Press Freedom & Assessing the
Value of the U.S.-Tanzania Partnership
-
U.S. Embassy Dar es Salaam
TANZANIA
By U.S. Ambassador to the United Republic
of Tanzania Michael A. Battle Sr.
May 2, 2024 - Since 1993, thank...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment