Mchezaji wa zamani wa Timu ya Taifa ya Zanzibar na Tanzania Inocent Haule wa Timu ya Veterani wa Unguja akiwania mpira na Mchezaji wa Timu ya Veterani ya Pemba Suleiman Juma wakati wa mchezo wa kirafiti wa Wachezaji wa Zanzibar wa Zanzibar mchezo uliofanyika Uwanja wa Gombani Timu ya Veterani Pemba imeshinda kwa Penenti kwa bao.4-2.
Mchezaji wa Timu ya Veterani kutoka Unguja Abdulkadir Atash akijaribu kuwapita wachezaji wa Timu ya Veterani Pemba wakati wa mchezo wao wa Kitaifa wa Wachezaji wa Zamani wa Zanzibar uliofanyika katika uwanja wa Gombani Pemba.
Naibu Waziri Chumi ashiriki sherehe za kuadhimisha Miaka 80 ya Uhuru wa
Vietnam
-
Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe.
Cosato Chumi, amemwakilisha Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika
Mashariki...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment