Habari za Punde

Maadhimisho ya Siku ya Utalii Duniani Yafanyika Jijini Abidan Nchini Ivory Coast.

Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akicheza ngoma za asili za Ivory Coast alipowasili katika mkutano wa  Maadhimisho ya Siku ya Utalii Duniani jijini Abidan leo.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akiwa katika mkutano wa  Maadhimisho ya Siku ya Utalii Duniani jijini Abidan nchini Ivory Coast leo. Kulia kwake ni Waziri wa Maendeleo ya Utalii wa nchini Chad Faycal Ramat Issa.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akiwasili katika ukumbi wa mikutano wa Sofitel Hotel jijini Abidan nchini Ivory Coast kwa ajili ya kushiriki mkutano wa Maadhimisho ya Siku ya Utalii yanayofanyika leo. Kulia kwake ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Richie Wandwi.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akiwasalimia machifu wa  makabila mbalimbali ya nchini Ivory Coast katika mkutano wa  Maadhimisho ya Siku ya Utalii Duniani jijini Abidan nchini leo.
Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mhe. Mary Masanja (Mb) akisaini kitabu cha wageni alipotembelea banda la Wizara ya Utalii ya nchini Ivory Coast katika mkutano wa  Maadhimisho ya Siku ya Utalii Duniani jijini Abidan leo. Kushoto  ni Kaimu Mkurugenzi Msaidizi wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Richie Wandwi.
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.