Habari za Punde

Waziri Mkuu Mhe.Kassim Majaliwa Azungumza na Wakuu wa Mikoa kwa Njia ya Video.

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wakuu wa Mikoa  na viongozi wa machinga kwa njia ya Video akiwa ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, Septemba 15, 2021. Wengine pichani  kutoka kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Profesa Kitila Mkumbo, Naibu Waziri wa TAMISEMI, Dkt.Festo Dugange, Katibu Mkuu TAMISEMI, Profesa  Riziki Shemdoe  na kushoto ni Naibu Katibu Mkuu TAMISEMI (ELIMU), Gerald Mweli.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wakuu wa Mikoa  na viongozi wa Machinga kwa njia ya Video akiwa ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma, Septemba 15, 2021.  Kulia ni Waziri wa Viwanda na Biashara, Profesa Kitila Mkumbo
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiagana na Waziri wa Viwanda na Biashara, Profesa Kitila Mkumbo (wa pili kulia), Naibu Waziri wa TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange  (wa tatu Kulia) na  Katibu Mkuu TAMISEMI, Profesa  Riziki Shemdoe  baada ya kuzungumza na Wakuu wa Mikoa  na viongozi wa Machinga kwa njia ya Video akiwa ofisini kwake, Mlimwa jijini Dodoma, Septemba 15, 2021.
 (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.