RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj. Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Dini
alipowasili katika Masjid Fiysabilillahi Tabligh Markaz Zanzibar Kidoti Mkoa wa
Kaskazini Unguja kwa ajili ya ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa 2021,
inayofanyika 22-10-2021
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj. Dk. Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Dini
alipowasili katika Masjid Fiysabilillahi Tabligh Markaz Zanzibar Kidoti Mkoa wa
Kaskazini Unguja kwa ajili ya ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa 2021,
inayofanyika 22-10-2021, katika Markaz hiyo na (kushoto kwa Rais) Mkuu wa
Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe Ayoub Mohammed Mahmoud
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua maalum iliyosomwa na Amiri
Lulu kutoka Gongolamboto Dar es Salaam, baada ya kumalizika kwa Ibada ya Sala
ya Ijumaa na (kulia kwa Rais) Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi na
Amiri Mkuu Ali Khamis Mwalim na (kushoto kwa Rais) Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Katiba,Sheria Utumishi na Utawala Bora Mhe.Haroun Ali Suleiman
WAUMINI wa Dini ya Kiislam Zanzibar wakiitikia
Dua ikisomwa na Amiri Lulu kutoka Dar es Salaam, baada ya kumalizika kwa Ibada
ya Sala ya Ijumaa iliofanyika katika Masjid Fiysabilillahi Tabligh Markaz
Zanzibar, kabla ya ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Rais
Katiba,Sheria,Utumishi na Utawala Bora Zanzibar Mhe Haroun Ali Suleiman,
akizungumza katika hafla ya ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa iliofanyika
katika Masjid Fiysabilillahi Tabligh Markaz Zanzibar Kidoti Mkoa wa Kaskazini
Unguja
MUFTI Mkuu wa Zanzibar Sheikh Saleh Omar Kabi
akizungumza kabla ya kumkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi, kufungua Ijitimai ya Kimatifa,
inayofanyika katika Masjid Fiysabilillahi Tabligh Markaz Zanzibar Kidoti Mkoa
wa Kaskazini Unguja
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Waumini wa Dini ya Kiislam
katika hafla ya Ufunguzi wa Ijitimai ya Kimataifa inayofanyika katika Masjid
Fiysabilillahi Tabligh Markaz Zanzibar Kidoti Mkoa wa Kaskazini Unguja
No comments:
Post a Comment