RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Cheti na fedha Mshindi wa
Shindano la Ubunifu kwa Vijana Wajasiriamali Barke Abdallah Ukusi kwa Ubunifu
wake wa Samaki Mtandaoni na (kushoto kwa Rais) Mratibu Mkaazi wa Umoja wa
Mataifa Nchini Tanzania Bw. Zlatan Milisic na (kuia kwa Rais) Waziri wa Afya na
Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk. Hussein Ali Mwinyi akimkabidhi Cheti na fedha Mshindi wa
Shindano la Ubunifu kwa Vijana Wajasiriamali Mohammed Wanimo kwa Ubunifu wake
wa Mashine ya Kusagia Mwani na (kushoto kwa Rais) Mratibu Mkaazi wa Umoja wa
Mataifa Nchini Tanzania Bw. Zlatan Milisic na (kuia kwa Rais) Waziri wa Afya na
Ustawi wa Jamii Wazee Jinsia na Watoto Zanzibar Mhe.Nassor Ahmed Mazrui
No comments:
Post a Comment