MKUU wa Mkoa wa
Kusini Pemba Mattar Massoud Zahor, akifungua mkutano wa nusu mwaka wa taasisi
za usimamizi wa mfumo wa haki jinai Pemba, mkutano uliofanyika kiwanja cha
Makonyo Wawi Chake Chake Pemba.
NAIBU na Kaimu
Mkurugenzi wa Mashtaka Zanzibar Muumini Kombo Juma, akitoa taarifa juu ya
mkutano wa nusu mwaka wa Taasisi za usimamizi wa mfumo wa Haki Jinai Pemba,
kutano uliofanyika katika ukumbi wa kiwanda cha Makonyo Wawi Chake Chake Pemba
AFISA Mdhamini Ofisi
ya Rais Katiba Sheria na Utawala Bora Pemba, Halima Khamis Ali akizungumza na
kumkaribisha mgeni Rasmi katika ufunguzi wa mkutano wa nusu mwaka wa wa taasisi
za usimamizi wa mfumo wa haki jinai Pemba.
MWAKILISHI kutoka
shirika la UNDP na Mratib wa Mradi wa kujenga uwezo taasisi za kisheria juu ya
upatikanaji wa haki (LEAP) Salma Ali Hassan, akitoa taarifa fupi juu ya mradi
huo huko katika ukumbi wa Kiwanda cha Makonyo Wawi Chake Chake Pemba.
WATENDAJI kutoka
ofisi ya Mkurugenzi wa mashataka Zanzibar, wakifuatilia kwa makini mkutano wa
nusu mwaka wa Taasisi za usimamizi wa mfumo wa Haki Jinai Pemba, kutano
uliofanyika katika ukumbi wa kiwanda cha Makonyo Wawi Chake Chake Pemba
WASHIRIKI wa Mkutano wa nusu mwaka wa taasisi za usimamizi wa mfumo wa Haki Jinai Pemba, wakifuatilia kwa makini ufunguzi wa mkutano huo huko katika ukumbi wa kiwanda cha Makonyo Wawi Chake Chake Pemba.
PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA.
No comments:
Post a Comment