MWENYEKITI wa klabu
ya waandishi wa habari Pemba (PPC) Said Mohamed Ali, akiwasilisha mada juu ya
umuhimu wa habari na amani, wakati wa mafunzo ya siku mbili kwa waandishi wa
habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari Pemba, kupitia mradi unaojulikana
SAUTI YANGU, AMANI YANGU, HATMA YANGU,unaotekelezwa na PPC wakishirikiana na
Foundation for civil society na Search for common groud, kwa ufadhili wa umoja
wa nchi za ulaya.
MWANDISHI wa habari
Fatma Hamad Faki, akiwasilisha kazi za kundi namba tatu wakati wa mafunzo ya
waandishi wa habari Pemba, kupitia mradi unaojulikana SAUTI YANGU, AMANI YANGU,
HATMA YANGU,unaotekelezwa na PPC wakishirikiana na Foundation for civil society
na Search for common groud, kwa ufadhili wa umoja wa nchi za ulaya.
MWANDISHI wa Habari
kutoka gazeti la Zanzibarleo ofisi ya Pemba, Mariyam Salim Habibu akionyesha moja
ya chupa zinazohifadhiwa moja ya vilevi watumiaji wake huzitupa njiani na
watoto kuokota, chupa ambayo inaweza kusababisha mgogoro baina ya jamii na
watumiaji wa vinywaji hivyo.
WAANDISHI wa habari kutoka vyombo mbali mbali vya habari Pemba, wakiwa katika kazi za vikundi katika mafunzo kupitia mradi unaojulikana SAUTI YANGU, AMANI YANGU, HATMA YANGU,unaotekelezwa na PPC wakishirikiana na Foundation for civil society na Search for common groud, kwa ufadhili wa umoja wa nchi za ulaya.
(PICHA NA ABDI SULEIMAN, PEMBA)
No comments:
Post a Comment