RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Tanzania
Mhe.Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete (kushoto kwake) Makamu wa Kwanza wa Rais wa
Zanzibar Mhe. Othman Masoud Othman na (kulia kwake) Rais Mstaafu wa Zanzibar
Mhe.Dkt.Amani Karume, alipowasili katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kuwahutubia
Wananchi katika hafla ya kuadhimisha Mwaka Mmoja wa Uongizi wake.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dk.Ali Mohamed Shein, alipowasili katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kuwahutubia
Wananchi katika hafla ya kuadhimisha Mwaka Mmoja wa Uongizi wake
Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman akisalimiana na Rais Mstaafu wa Tanzania
Mhe.Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, alipowasili katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, kuwahutubia
Wananchi katika hafla ya kuadhimisha Mwaka Mmoja wa Uongizi wake
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwa katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Zanzibar, wakati ukipigwa Wimbo wa Taifa na wa Afrika Mashariki kabla ya kuaza kwa mkutano wa Maadhimisho ya Mwaka Mmoja wa Uongozi wake na (kulia kwa Rais) Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe.Othman Masoud Othman, Rais Mstaafu wa Tanzania Mhe.Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dkt.Amani Abeid Karume na (kushoto kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe.Hemed Suleiman Abdulla ,Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mariam Mwinyi na Rais Mstaafu wa Zanzibar Mhe.Dk,Ali Mohamed Shein.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Zanzibar katika
mkutano wake wa kuadhimisha Mwaka mmoja wa Uongozi wake, mkutano huo
uliofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Zanzibar katika mkutano wake wa kuadhimisha Mwaka mmoja wa Uongozi wake, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Zanzibar katika mkutano wake wa kuadhimisha Mwaka mmoja wa Uongozi wake, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akiwahutubia Wananchi wa Zanzibar katika mkutano wake wa kuadhimisha Mwaka mmoja wa Uongozi wake, mkutano huo uliofanyika katika ukumbi wa Hotel ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar.
WANANCHI na Wageni waalikwa wakifuatilia hutuba
ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayuypo pichani) akihutubia katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tuliup
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amaniu Karume Zanzibar
WANANCHI na Wageni waalikwa wakifuatilia hutuba
ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayuypo pichani) akihutubia katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tuliup
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amaniu Karume Zanzibar
WANANCHI na Wageni waalikwa wakifuatilia hutuba
ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali
Mwinyi.(hayuypo pichani) akihutubia katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tuliup
Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amaniu Karume Zanzibar
WANANCHI wakimshangilia Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)
akiwahutubia Wananchi katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,wakati wa hafla ya Maadhimisho ya
Mwaka Mmoja wa Uongozi wake.
WANANCHI wakimshangilia Rais wa Zanzibar na
Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi.(hayupo pichani)
akiwahutubia Wananchi katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege
wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar,wakati wa hafla ya Maadhimisho ya
Mwaka Mmoja wa Uongozi wake.
No comments:
Post a Comment