Habari za Punde

Mwanafunzi wa Kidatu cha Tano Skuli ya Kiembesamaki A Unguja Amekabidhiwa Vifaa vya Kumsaidia Masomo Yake.

Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali Zanzibar Mhe. Simai Mohammed Said  akimkabidhi vifaa kwa ajili ya kusomea Mwanafunzi wa Kidatu cha Tano wa Skuli ya Sekindari Kiembesamaki A Saleh Abdulrahaman Jabir (kushoto kwa Waziri) mwenye ulemavu wa uziwi akikabidhiwa Komputa mpakato na Visaidizi vya usikivu, kwa ajili ya kumsaidia katika masomo yake, hafla hiyo imefanyika katika ukumbi wa Waziri ya Elimu Mazizini Jijini Zanzibar.  

Vifaa hivyo amevitoa ikiwa ni msaada binafsi ulitokana na kuchangisha kupitia katika mtandao wake wa facebook.


No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.