Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Ujumbe wa Madaktari kutoka ‘Haukeland University Hospital’ ya Nchini Norway (kushoto), ambao wamesaidia ujenzi wa Hospital ya Wagonjwa wa Akili Kidongochekundu Wilaya ya Mjini,walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 17/11/2021
MATUKIO KATIKA PICHA MANAIBU MAWAZIRI WATETA NA WANAWAKE PEMBA
-
Naibu Waziri Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi
Maalum Mhe. Mwanaidi Ali Khamis na Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu
(Sera,B...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment