Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Ujumbe wa Madaktari kutoka ‘Haukeland University Hospital’ ya Nchini Norway (kushoto), ambao wamesaidia ujenzi wa Hospital ya Wagonjwa wa Akili Kidongochekundu Wilaya ya Mjini,walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 17/11/2021
PSPTB YATOA MAFUNZO WA WATAALAMU WA UNUNUZI NA UGAVI WA TAA
-
Bodi ya Wataalamu wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imeendesha mafunzo ya sheria
mpya ya ununuzi wa umma ya mwaka 2023 na kanuni mpya za mwaka 2024 kwa
watumi...
2 days ago
No comments:
Post a Comment