Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Ujumbe wa Madaktari kutoka ‘Haukeland University Hospital’ ya Nchini Norway (kushoto), ambao wamesaidia ujenzi wa Hospital ya Wagonjwa wa Akili Kidongochekundu Wilaya ya Mjini,walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 17/11/2021
KAMPUNI YA BARRON GROUP WANAOTENGENEZA KIATU CHA SHULE WAJITAMBULISHA KWA SPIKA WA BUNGE DK. TULIA
-
* Na Mwandishi Wetu,Dodoma*
*Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson
amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kampuni...
4 hours ago
No comments:
Post a Comment