Habari za Punde

Rais Dk Hussein Mwinyi akutana na Madaktari kutoka Haukeland University Hospital ya nchini Norway

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (kulia) akizungumza na Ujumbe wa Madaktari kutoka ‘Haukeland University Hospital’ ya nchini Norway, ambao wamesaidia ujenzi wa Hospitali ya Wagonjwa wa Akili Kidongochekundu  Wilaya ya Mjini, walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 17/11/2021.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Hussein Ali Mwinyi (katikati) akizungumza na Ujumbe wa Madaktari kutoka ‘Haukeland University Hospital’ ya Nchini Norway (kushoto), ambao wamesaidia ujenzi wa Hospital ya Wagonjwa wa Akili Kidongochekundu  Wilaya ya Mjini,walipofika Ikulu Jijini Zanzibar.[Picha na Ikulu] 17/11/2021
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.