-Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akifungua Mkutano wa 20 wa Taasisi za Kifedha Nchini wenye lengo la kupitia na kutatua changamoto mbalimbali katika sekta hiyo. Mkutano huo umefunguliwa leo tarehe 25 Novemba, 2021 katika ukumbi wa mikutano wa Jakaya Kikwete, Jijini Dodoma.
KAMPUNI YA BARRON GROUP WANAOTENGENEZA KIATU CHA SHULE WAJITAMBULISHA KWA SPIKA WA BUNGE DK. TULIA
-
* Na Mwandishi Wetu,Dodoma*
*Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Tulia Ackson
amekutana na kufanya mazungumzo na Mkurugenzi wa Kampuni...
5 hours ago
No comments:
Post a Comment