RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi akiondoa kipazia kuashiria kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi wa Hoteli ya Kitalii ya Riu Hotels & Resorts Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja (kushoto ) Mkuu wa Mkoa wa Kaskazini Unguja Mhe. Ayoub Mohammed Mahmoud na Bw.Raul Gantes wakiondoa kiupazia, hafla hiyo imefanyika katika eneo la ujenzi huo Nungwi, ikiwa ni shamrashamra za kutimiza Mwaka mmoja wa Uongozi wake
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe. Dk.Hussein Ali Mwinyi akikata utepe kuashiria uzinduzi wa Ujenzi
wa Hoteli ya Kitalii ya Riu Hotels &Resorts Nungwi (kulia kwa Rais) Mama
Mariam Mwinyi, Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Zanzibar
Mhe Mudrik Soraga na Katibu wa Baraza la Mapinduzi na Katibu Mkuu Kiongozi
Mhandisi Zena Ahmed Said na (kushoto kwa Rais) Mmiliki wa Hoteli hiyo Bw. Raul
Gantes, shamrashamra za kutimiza Mwaka Mmoja wa Uongozi wake
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mpinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza
Mmikili wa Mradi wa Hoteli ya Kitaii ya Riu Hotels &Resorts Bw. Raul Gantes
akitowa maelezo ya michoro ya picha ya ujenzi wa hoteli hiyo wakati wa hafla ya
uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo ikiwa ni Maadhimisho ya Mwaka Mmoja wa
Uongozi wake
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mpinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi na Mkewe Mama Mariam Mwinyi wakimsikiliza
Mmikili wa Mradi wa Hoteli ya Kitaii ya Riu Hotels &Resorts Bw. Raul Gantes
akitowa maelezo ya michoro ya picha ya ujenzi wa hoteli hiyo wakati wa hafla ya
uwekaji wa Jiwe la Msingi la Ujenzi huo ikiwa ni Maadhimisho ya Mwaka Mmoja wa
Uongozi wake
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea Mradi wa Ujenzi wa Hoteli ya
Kitalii ya Riu Hotels &Resorts Nungwi Mkoa wa Kaskazini Unguja baada ya
kuweka Jiwe la Msingi la Ujenzi huo, ikiwa ni shamrashamra za Mwaka Mmoja wa
Uongozi wake, (kushoto kwa Rais) Mmiliki wa Hoteli hiyo Bw. Raul Gantes
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Nungwi wakati wa
hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Mradi wa Ujenzi wa Hoteli ya Kitalii ya Riu Hotels &Resots
Nungwi. Ikiwa ni shamrashamra za mwaka mmoja wa Uongozi wake
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wananchi wa Nungwi wakati wa
hafla ya uwekaji wa jiwe la msingi la Mradi wa Ujenzi wa Hoteli ya Kitalii ya Riu Hotels &Resots
Nungwi. Ikiwa ni shamrashamra za mwaka mmoja wa Uongozi wake
No comments:
Post a Comment