Habari za Punde

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Samia Suluhu Hassan Azindua Kamati ya Ushauri ya Kitaifa ya Utekelezaji wa Ahadi za Nchi kuhusu Kizazi chenye Usawa.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na viongozi mbalimbali pamoja na wananchi wakati akizundua Kamati ya Ushauri ya Kitaifa ya Utekelezaji wa Ahadi za Nchi kwenye Jukwaa la Kizazi chenye Usawa katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete Jijini Dodoma   leo tarehe 16 Desemba  2021.
 PICHA NA IKULU


 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.