RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akijumuika na Waumini wa Kiislam katika
Sala ya kusalia Jeneza la marehemu Salum Khamis Nassor, iliyofanyika katika
Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Rais Mstafu wa
Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein na Makamu wa Pili wa Rais Mstafu Alhaj
Balozi Seif Ali Iddi wakijianda kubeba jeneza kwa ajili ya Ibada ya kusalia
Mwili wa Marehemu.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ya kumuombea Marehemu Salum
Khamis Nassor, ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi,
baada ya kumalizika kwa Sala ya Jeneza, iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar
Mazizini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhaj Dk.Ali
Mohamed Shein na Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu Alhaj Balozi Seif Ali Iddi na
(kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman
Abdulla, wakiitikia dua
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akiitikia dua ya kumuombea Marehemu Salum Khamis Nassor, ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa Sala ya Jeneza, iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar na (kushoto kwa Rais) Rais Mstaafu wa Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein na Makamu wa Pili wa Rais Mstaafu Alhaj Balozi Seif Ali Iddi na (kulia kwa Rais) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla, wakiitikia dua
Waumini wa Kiislam wakiitikia dua ya kumuombea Marehemu Salum
Khamis Nassor, ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi,
baada ya kumalizika kwa Sala ya Jeneza, iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar
Mazizini Zanzibar.Waumini wa Kiislam wakiitikia dua ya kumuombea Marehemu Salum Khamis Nassor, ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa Sala ya Jeneza, iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar
Waumini wa Kiislam wakiitikia dua ya kumuombea Marehemu Salum Khamis Nassor, ikisomwa na Mufti Mkuu wa Zanzibar Sheikh. Saleh Omar Kabi, baada ya kumalizika kwa Sala ya Jeneza, iliyofanyika katika Masjid Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar .
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la
Mapinduzi Alhaj Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kumpa mkono wa pole Rais
Mstaafu wa Zanzibar Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein (kushoto kwa Rais) baada ya
kumalizika kwa Ibada ya kusalia jeneza la Marehemu Salum Khamis Nassor,
aliyewahi kuwa Mkurugenzi Mtendaji ZIPA,Ibada hiyo iliyofanyika katika Masjid
Jamiu Zinjibar Mazizini Zanzibar leo 22-1-2022.
No comments:
Post a Comment