Habari za Punde

Mafunzo Maalumu kwa wafanyabiashara yanayohusiana na Mabadiliko kutoka Lumpsum kwenda Stamp Duty Composition

WAFANYABIASHARA wadogo wadogo Pemba, wakifuatilia kwa makini Mafunzo Maalumu yanayohusiana na Mabadiliko kutoka Lumpsum kwenda Stamp Duty Composition, mafunzo yaliyotolewa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Pemba na kufanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)

AFISA Elimu kutoka Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Raya Suleiman Abdallah, akizungumza na wafanyabiashara wadogo wadogo Pemba, juu ya mabadiliko kutoka Lumpsum kwenda Stamp Duty Composition, mafunzo yaliyotolewa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Pemba na kufanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)

AFISA Uhusiano kutoka Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Badria Atai Masoud, akiwafahamisha baadhi ya wafanyabiashara wadogo wadogo Pemba ujazaji wa fomu ya marejesho ya Mwezi biashara katika fomu hiyo, wakati wa mafunzo yaliyotolewa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Pemba na kufanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)

AFISA Elimu kutoka bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB)Raya Suleiman Abdallah, akiwaonyesha wanafanya biashara wadogo wadogo Pemba, fomu ya ujazaji wa marejesho ya Mwezi ya biashara, wakati wa mafunzo kwa wafanyabiashara hao na kutolewa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Pemba na kufanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)

AFISA Elimu kutoka bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Raya Suleiman Abdalla, akimfahamisha mmoja wa wafanyabiashara wadogo wadogo Pemba, jinsi ya kufanyamarejesho ya Mwezi ya biashara, wakati wa mafunzo kwa wafanyabiashara hao na kutolewa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Pemba na kufanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)

AFISA Uhusiano kutoka ZRB Zanzibar Badria Atai Masoud, akitoa maelekezo kwa baadhi ya wafanyabiashara jinsi ya kupata marejesho ya Mwezi ya biashara yake, wakati wa mafunzo kwa wafanyabiashar hao kutolewa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Pemba na kufanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)

AFISA Uhusiano kutoka ZRB Zanzibar Badria Atai Massoud, akizungumza na Wanyabiashara wadogo wadogo Pemba, wakati wa Mafunzo Maalumu yanayohusiana na Mabadiliko kutoka Lumpsum kwenda Stemp Duty Composition, mafunzo yaliotolewa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Pemba na kufanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)

MENEJA wa huduma nyenginezo kutoka ZRB Pemba Abeid Omar Salum, akizungumza na wafanyabiashara wadogo wadogo Pemba, wakati wa Mafunzo Maalumu yanayohusiana na Mabadiliko kutoka Lumpsum kwenda Stemp Duty Composition, mafunzo yaliotolewa na Bodi ya Mapato Zanzibar (ZRB) Pemba na kufanyika mjini Chake Chake.(PICHA NA ABDI SULEIMAN)

 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.