Habari za Punde

Muonekano wa Jengo Jipya la Kihifadhia Maiti Hospitali Kuu ya Mzani Mmoja Zanzibar.

Muonekano wa Jengo Jipya la kuhifadhia Maiti katika Hospitali Kuu ya Rufaa ya Mnazi Mmoja Zanzibar kama linavyoonekana pichani lililozinduliwa leo 12-2-2022 na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi. 
Sehemu ya kuhifadhia maiti katika jengo jipya hiyo. 
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.