Habari za Punde

Benki ya CRDB Yawawezesha Wajasiliamali Zanzibar Kupitia Mikopo ya Wajasiriamali ya Inuka na Uchumi wa Buluu.Uliozinduliwa Leo Ukumbi wa Idirisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Bw,. Abdulmajid Nsekela akizungumza kuhusioana na fursa zinazotolewa na Benki yake ya CRDB wakati wa Uzinduzi wa Ushirikiano Baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Benki ya CRDB Kupitia Mikopo ya Wajasiriamali ya Inuka na Uchumi wa Buluu, uzinduzi huo umefanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na Viongozi wa Serikali na wa Benki ya CRDB baada ya kuwasili katika viwanja vya ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, wakati wa hafla ya Uzinduzi wa Ushirikiano Baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Benki ya CRDB Kupitia Mikopo ya Wajasiriamali ya Inuka na Uchumi wa Buluu.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akizungumza na Wajasiriamali wakati akitembelea maonesho ya Bidhaa zao katika viwanja vya ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar, wakati wa Uzinduzi wa Ushirikiano wa baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Benki ya CRDB kupitia Mikopo ya Wajasiriamali ya Inuka na Uchumi wa Buluu (kushoto kwa Rais) Kaimu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mjasiriamali Bi. Priscla Tayari wa Kikundi cha Kibibi Product wakati akitembelea maonesho ya Wajasiriamali wakati wa Uzinduzi wa Ushirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Benki ya CRDB Kupitia Mikopo ya Wajasiriamali wa Inuka, uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Bw.Abdulmajid Nsekela na (kushoto kwa Rais) Kaimu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akitembelea maonesho ya bidhaa za Wajasiriamali katika viwanja vya ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Zanzibar, wakati wa Uzinduzi wa Ushirikiano wa baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Benki ya CRDB kupitia Mikopo ya Wajasiriamali ya Inuka na Uchumi wa Buluu (kushoto kwa Rais) Kaimu Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Kazi Uchumi na Uwekezaji Waziri wa Biashara na Maendeleo ya Viwanda Zanzibar Mhe. Omar Said Shaban.na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Bw,. Abdulmajid Nsekela.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mjasiriamali wa Kikundi cha Mtule Amcos cha Paje Bw. Nassor Seif Ali,wakati akitembelea maonesho ya Wajasiriamali wakati wa Uzinduzi wa Ushirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Benki ya CRDB Kupitia Mikopo ya Wajasiriamali wa Inuka na Uchumi wa Buluu, uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Bw.Abdulmajid Nsekela
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mjasiriamali wa Kiwanda cha Madawa Bw. Mohammed Madawa akitowa maelezo ya utengenezaji wa dawa kupitia miti shamba,wakati akitembelea maonesho ya Wajasiriamali wakati wa Uzinduzi wa Ushirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Benki ya CRDB Kupitia Mikopo ya Wajasiriamali wa Inuka na Uchumi wa Buluu, uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Bw.Abdulmajid Nsekela.
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akimsikiliza Mjasiriamali wa Kiwanda cha Madawa Bw. Mohammed Madawa akitowa maelezo ya utengenezaji wa dawa kupitia miti shamba,wakati akitembelea maonesho ya Wajasiriamali wakati wa Uzinduzi wa Ushirikiano baina ya Serikali ya Mapinduzi Zanzibar na Benki ya CRDB Kupitia Mikopo ya Wajasiriamali wa Inuka na Uchumi wa Buluu, uliofanyika katika ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdulwakil Kikwajuni Jijini Zanzibar, na (kulia kwa Rais) Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Bw.Abdulmajid Nsekela.

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.