Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Kikao na Watanzania wanaoishi nchini Ubelgiji na Luxembourg jana tarehe 18 Februari, 2022 Brussels nchini Ubelgiji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaoishi nchini Ubelgiji na Luxembourg jana tarehe 18 Februari, 2022 Brussels nchini Ubelgiji.
Sehemu ya Watanzania mbalimbali waishio nchini Ubelgiji na Luxembourg wakiwa katika Kikao na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Brussels nchini Ubelgiji jana tarehe 18 Februari, 2022. PICHA NA IKULU
Sehemu ya Watanzania mbalimbali waishio nchini Ubelgiji na Luxembourg wakiwa katika Kikao na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Brussels nchini Ubelgiji jana tarehe 18 Februari, 2022. PICHA NA IKULU
TAKUKURU MKOA WA DODOMA YAFUATILIA MIRADI YA BILIONI 50 NA KUFANIKIWA
KUOKOA ZAIDI YA MILIONI 13
-
Na Janeth Raphael MichuziTv -Dodoma
Mkuu wa TAKUKURU Mkoa of wa Dodoma Christopher Myava amesema katika
utendaji kazi wa Takukuru mkoani humo katika kipin...
8 hours ago
No comments:
Post a Comment