Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Kikao na Watanzania wanaoishi nchini Ubelgiji na Luxembourg jana tarehe 18 Februari, 2022 Brussels nchini Ubelgiji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaoishi nchini Ubelgiji na Luxembourg jana tarehe 18 Februari, 2022 Brussels nchini Ubelgiji.
Sehemu ya Watanzania mbalimbali waishio nchini Ubelgiji na Luxembourg wakiwa katika Kikao na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Brussels nchini Ubelgiji jana tarehe 18 Februari, 2022. PICHA NA IKULU
Sehemu ya Watanzania mbalimbali waishio nchini Ubelgiji na Luxembourg wakiwa katika Kikao na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Brussels nchini Ubelgiji jana tarehe 18 Februari, 2022. PICHA NA IKULU
Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Yapokea Karatasi za Kupigia Kura Uchaguzi
Mkuu 2025
-
Mkurugenzi wa Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) Thabit Idarous Faina
(kushoto) akisaini hati za makabidhiano ya Karatasi za Kupigia Kura na
Mkurugenzi Mte...
6 hours ago
No comments:
Post a Comment