Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza katika Kikao na Watanzania wanaoishi nchini Ubelgiji na Luxembourg jana tarehe 18 Februari, 2022 Brussels nchini Ubelgiji.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa katika picha ya pamoja na Watanzania wanaoishi nchini Ubelgiji na Luxembourg jana tarehe 18 Februari, 2022 Brussels nchini Ubelgiji.
Sehemu ya Watanzania mbalimbali waishio nchini Ubelgiji na Luxembourg wakiwa katika Kikao na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Brussels nchini Ubelgiji jana tarehe 18 Februari, 2022. PICHA NA IKULU
Sehemu ya Watanzania mbalimbali waishio nchini Ubelgiji na Luxembourg wakiwa katika Kikao na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, Brussels nchini Ubelgiji jana tarehe 18 Februari, 2022. PICHA NA IKULU
KATIBU MKUU MASWI AIPONGEZA OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI USIMAMIZI WA
MASHAURI
-
Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali imepongezwa kwa kuendelea kusimamia kwa
weledi mashauri ya madai na usuluhishi hatua ambayo imesaidia Serikali
kuongeza ka...
1 hour ago
No comments:
Post a Comment