Habari za Punde

Walimu Wakuu wapigwa msasa Uhamishaji wa Utalii wa undani


Afisa Mdhamini Wizara ya Utalii na Mambo ya Kale nd. Zuhura Mgeni Othman akizungumza na walimu Wakuu wa skuli zilizomo katika Wilaya ya Micheweni tarehe 28/2/2022 ikiwa ni miongoni mwa uhamasishaji wa utalii wa ndani.
Baadhi ya Walimu wakuu wa skuli za Wilaya ya Micheweni wakishirikia katika semina ya uhamasishaji Utalii nchini
 

No comments:

Post a Comment

ZanziNews Copyright © 2014

Theme images by Bim. Powered by Blogger.